Vijana wa Kitanzania

Forums » The Lounge » Debates & Discussions

You need to be logged in to post in the forums. If you do not have an account, please sign up first.

Go to last post

27. April 2010, 09:30:56

japhetelia

Kamendu

Posts: 5

Vijana wa Kitanzania

Nadhani sisi ndio tunaotegemewa kama taifa la leo ambalo linapaswa kuwawekea muongozo mzuri wadogo zetu ambao ndio taifa la kesho.
Utakuta kuna vijana pamoja na kusema ni wa kiume huwa wanafanya mambo ya wanawake kama kutoboa maskio,kusuka nywele na mengineyo, hiyo itamfunza nini mdogo wako?
Kuna wengine hupenda kuvalia suluari chini ya kiuno mpaka nguo zao za ndani kuonekana, jamani hiyo ni aibu ambayo sitopenda tuiendekeze kwani tupo kwa ajiri ya kuelimishana sio kuwaaribu wadogo zetu kihisia.
Hivyo nawaomba vijana wenzangu tujirekebishe ili tuweze kujenga taifa lenye kuendana na maadili ya Kitanzania.
By Japhet K..

27. April 2010, 14:44:22

Mikenjenga

Posts: 4

yes thats true Man Mswahli,youths hv gone scared i'm worried worried about the future generation ppl might all turn gay.WE shld open our bigeyes n change them. Kenyan's are worse. awww

Forums » The Lounge » Debates & Discussions