Poetry In Motion

ee mwenyezi mungu,muumba nchi na mbingu.niondolee ukungu wa haya maisha magumu.niondolee uthubutu,wakuweza kubwia sumu.ni kama upatu,uliogandana kutu au kisu kisichobutu,koromeoni mwa mtu au mtutu uliodiriki kudhubutu kuibeba risasi kuundoa uhai wa mtu.na hustle kila siku,naishia kuambulia buku,wekundu hunitosha kwa siku,niondokane na life la kunguru.ndio bongo huku,ujiruzuku kwa kuishika sururu.wametususa zetu ndugu,tulio wapeleka ikulu.maisha yao ya juu,daily wakila kuku.wametusahau wa huku,na maisha yetu ya huku.wameyafanya magumu na mbaya ya kudumu.ee nyoka kifutu,twajiponya na zako sumu.nakupiga virungu,maneno yangu ndio sumu.ubadhirifu wako kila siku,kutupa maisha magumu.

Double-faced friend.should i show up?will you give me a big ...

Comments

Ahmadi Mmambeammambe Wednesday, May 23, 2012 4:37:51 PM

Asante kwa maneno yenye kumtambua muuma kk

stevElevensteveleven Wednesday, May 30, 2012 9:54:25 PM

Dah!umenishika sana nimestika kwa yako mistari big up.umesomeka

John leonardjleonny Friday, July 13, 2012 11:42:53 AM

Thanks dude!find me at gunityfamily@ning.com

John leonardjleonny Friday, July 13, 2012 11:44:31 AM

1,2 deal on chart!

Write a comment

New comments have been disabled for this post.